Wyse – Sikulaumu (Lyric Video)

Wyse Sikulaumu Lyrics Wyse – Sikulaumu Lyrics

Sikulaumu Lyric Video by Wyse

Riziki ya mafungu saba
Ila huenda la kwangu halijatimia ah mmh
Wanasemaga haba na haba nitajaza kibaba
Siku yangu ikiwadia aah mmmh

Nimesikia we si wangu tena
Na huko ulipo nakuombea salama
Wema usijapo pema, ukipema
Si pema tena

Nachokumbuka una siri zangu
Huko ulipo naomba unitunzie
Binadamu na madhaiifu yangu
Yale ya ndani naomba unifichie

Mi sikulaumu, sikulaumu
Mi sikulaumu, sikulaumu
Mi sikulaumu, sikulaumu
Mi sikulaumu, sikulaumu

Mungu hamtupi mja wake
Najua iko siku nitapona
Nitapata afadhali
Na mimi atanitunuku karama

Nitapata mtu wa maana ah
Wa kunitoa gizani
Akanipa dhamani
Nikapata amani

Akanijaza moyoni
Kunifumba na mboni
Wa kunipa tumaini

Nachokumbuka una siri zangu
Huko ulipo naomba unitunzie
Binadamu na madhaiifu yangu
Yale ya ndani naomba unifichie

Mi sikulaumu, sikulaumu
Mi sikulaumu, sikulaumu
Mi sikulaumu, sikulaumu
Mi sikulaumu, sikulaumu

Written by; Wyse
Released date; 19 February, 2021

https:www.youtube.comwatch?v=j8ZzdZDtgnI

Wyse Sikulaumu Lyric Video

    Lyrics Details:

  • Written by:
  • Album:
  • Released: